3% YA MISHAHARA KUCHANGIA HAZINA YA TAIFA YA MAKAZI

Written by on April 24, 2023

KENYA: WAFANYAKAZI WATAKIWA KUCHANGIA 3% YA MISHAHARA YAO KWA HAZINA YA TAIFA YA MAKAZI

Rais #WilliamRuto amesema Wakenya sasa watakuwa wakichangia asilimia 3 ya mapato yao kwenye Mfuko wa Ujenzi wa Nyumba za Bei Nafuu ili kuwasaidia watu wengi zaidi kununua na kumiliki nyumba hizo

Amesema wakati Serikali inapoanzisha mpango huo wa ujenzi lazima kuwe na mpango madhubuti unaolenga kushughulikia ufadhili wa watu wenye kipato cha chini

Amesema, “Kila mfanyakazi anayechangia asilimia 3, Sheria itamlazimisha mwajiri wao pia kuchangia asilimia 3 kwenye mfuko huo”
Cc: @dmkglobal @makirijulius
#Megafm2023TukoVizuri#weglobal🌎🇹🇿🇺🇸


Reader's opinions

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *



Current track

Title

Artist