
Msuva “What a touch” pasi nzur kutoka kwa Job👏 nafikiri Tanzania tulikosa utulivu kwenye nafasi ambazo tulipata wakati tunashambulia ingeweza kuwa zaidi ya 1-0(Mzamiru na Mudathir + Himid good performance )
Alama tatu mbele ya Uganda, nafasi ya pili kwenye kundi “Well done”🙌