TRUMP KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MARA YA PILI

Written by on June 9, 2023

MAREKANI: TRUMP KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MARA YA PILI

Rais wa zamani wa Marekani, #DonaldTrump anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya #Miami akikabiliwa na makosa saba yakiwemo ya kumiliki nyaraka za siri za Serikali

Wakili wa Trump ameweka wazi kuwa Mwanasiasa huyo atafikishwa Mahakamani hapo Jumanne ya Juni 13, 2023 lakini bado wanasubiri Hati ya Mashtaka

Wakati huohuo, Idara ya Usalama inatarajia kukutana na wafanyakazi wa Trump ikiwemo walinzi wake, leo Juni 9, 2023 kwa ajili ya kupanga utaratibu wa msafara kuelekea Mahakamani


Reader's opinions

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *



Continue reading

Current track

Title

Artist