WAPENZI WAFUMANIWA WAKIFANYA NGONO KANISANI

Written by on July 7, 2023

Wapenzi hao wamekutwa wakifanya kitendo hicho eneo la Madhabau Nchini #Uganda na kusababisha kikundi cha Waumini kadhaa kuapa kutoingia tena katika Kanisa hilo lililopo Wilaya ya Kayunga

Tukio limewahusisha Kijana muumini wa Kikatoliki mwenye Miaka 23 ambaye ni Mume wa Mtu na Binti wa Dhehebu la Kiislamu ambaye alitalikiwa hivi karibuni, ambapo walifumaniwa na Mke wa Kijana huyo

Wapenzi hao wamedaiwa kuingia ndani ya Kanisa kupitia Dirishani. Baadhi ya waumini wametaka Uongozi wa Kanisa kufanya ibada maalumu ya kulitakasa Kanisa ili kuondoa dhambi hiyo.


Reader's opinions

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *



Current track

Title

Artist