WAZAZI NDIO SERIKALI YA FAMILIA

Written by on July 7, 2023

“Wazazi wanatakiwa kujua kama wameunda familia wao ndio serikali ya familia, ndio viongozi wa familia, huko ndani mumtafute Rais wenu, makamu wenu na Waziri Mkuu, humo ndani lazima mjigawe kwenye mamlaka na msikilizane” – @gwajimad, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum


Reader's opinions

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *



Current track

Title

Artist